Friday, October 05, 2018

'Bokoreri Obuya Nkorw' Asore: Ekegusii hymn

The Music Teacher from Lutheran Theological Seminary-Nyamira, Kenya with his family singing the first two verses of hymn 70 from the Ekegusii hymnal Moterere Omonene.

'Bokoreri Obuya Nkorw' Asore, 
lyrics by Enock Kalembo




1. Omo:
'Bokoreri obuya nkorw' asore,
Omonene bw'obonene.
Ring'ana rigiy' erieta riao.

Bonsi:
/:Yeso nomochakano bw'emeremo,
na nechinguru ase obokoreri bwaito.:/

2. Omo:
Abakoreri mogondo oo,
obae ososemeria.
Ne chinguru kobr' emeremo.

Bonsi:
/: Bakore yonsi ase obwegenwa,
bab' abarendi eri' emeremo tesareka. :/

Enock Kalembo's Kiswahili version is #71 in Mwimbiene Bwana

Wednesday, October 03, 2018

Kiswahili Te Deum Wewe Mungu Twakukiri-Draft

This is for the proof-readers, a draft engraving of the first setting of the Te Deum (p. 383-384) in the Kiswahili hymnal Mwimbieni Bwana: msifuni Mungu, mfalme wa mbingu na nchi! This hymnal was produced in 2000 by the Evangelical Lutheran Church in Tanzania. 




Wewe Mungu Twakukiri (Te Deum)


Ki: Wewe, Mungu twakukiri
Wewe, Bwana wa Milele,
Ush: Ulimwengu wote unakuabudu.


Ki: Malaika wote wakusujudia Wewe.
Ush: Nazo Mbingu na Nguvu zote;


Ki: Nao makerubi na maserafi wakuimbia hawakomi:
Ush: Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu, BWANA
Mungu wa majeshi,


Ki: Mbingu na nchi zimejaa utukufu wako.
Ush: Jamii tukufu ya Mitume wakusifu Wewe;


Ki: Shirika lenye sifa la manabii wakusifu Wewe.
Ush: Jeshi la Mashahidi waliovaa mavazi muepe wakusifu wewe;


Ki: Kanisa takatifu katika nchi zote lakukiri Wewe;
Ush: Baba mwenye enzi zote; Mwana wako pekee,
na wa kweli, wa kuabudiwa; Mfariji Roho Mtakatifu.


Ki: Wewe Kristo ndiwe Mfalme wa Utukufu,
Wewe Mwana wa milele wa Baba.
Ush: Hata ulipowadia utimilifu wa wakati wa kuwaokoa binadamu,
Ulichukua mwili huu wetu katika tumbo la Bikira Mariamu.


Ki: Wewe ulipoushinda uchungu wa mauti,
Uliwafungulia waaminio Ufalme wa Mbinguni.
Ush: Wewe unakaa mkono wa kuume wa Mungu katika utukufu wake Baba.


Ki: Tunaamini na kungojea kurudi kwako kuwa mwamuzi wetu.
Ush: Kwa hiyo twakuomba uwasaidie watumishi wako.


Ki: Watumishi hawa uliowakomboa kwa damu yako ya thamani,
Ush: Uwajalie pamoja na watakatifu wako
Thawabu ya utukufu wa milele. Amen.


Uwaokoe watu wako, Bwana: uubarikie urithi wako.
Uwatawale: uwainue hata makao ya milele.
Sisi kila siku: twakutukuza.
Twalisifu Jina lako: zamani hizi na za tnilele.
Ukubali, Bwana, kutulinda leo: tusipate dhambi.
Uturchemu, Bwana: umrehemu sisi.
Utuonee huruma, Bwana: kwani sisi twakutumaini wewe.
Nirnekutumaini wewe, Bwana: nisipotee milele.

The last 8 lines are reproduced from: INJIA Y A IBADA. Swahili: Book of Worship SOCIETY FOR PROMOTING CHRISTIAN KNOWLEDGE. LONDON: p. 3-4]

https://docplayer.net/53409897-Njia-y-a-ibada-swahili-book-of-worship-society-for-promoting-christian-knowledge-njla-ya-ibada-book-of-worship-london.html]